Skip to main content

SUSUMILA NA CHIKUZEE WARUDI PAMOJA NAKUTOA HIT NYENGINE

Waliungana na kufanya Ngoma Itambae, track ambayo ilitokea na kupendwa sana na ndio track ya Mombasa pekee ambayo huchezwa kwa ma,club karibu kila siku. Na baadae wakafanya Hidaya ambayo vilevile ili,enjoy airplay nyingi sana haswaa kitaifa. Kazi zote mbili zilikua zimefanywa na Producer mkali, TK2 aka TK Mbili.Watu wlipenda ushirikiano wao na walikua  na matumaini makubwa sana ya kwamba Susumila na Chikuzee wataipeperusha mbali sana bendera ya mziki hapa Pwani wakiwa pamoja.
Lakini hizo zilikua ndoto za alinacha, kwani baadae walikosana ikafikia kipindi mpaka Chikuzee akasema ya kwamba Susumila anatumia nguvu za giza kummaliza kimziki. Wengi walijaribu kuingilia  ugomvi wao angalau wawapatanishe lakini ikashindikana.

Mwishoni mwa wiki jana, Chikuzee aliachia track yake aliyomshirikisha Kassim Mganga-NARINGA NAE  na Susumila naye ndio alikua amemaliza kuandaa video ya track aliyomshirikisha King Kaka-MAPEPE.

Inaonekana wawili hao walimaliza ugomvi wao chini kwa chini na kuamua kufanya kitu cha pamoja na leo kama surprise, ma,star hao wawili katika track moja chini ya Producer gwiji Afrika Mashariki, Tuddy Thomas. UNAWEZA PATA NGOMA YAO KWAMKITO 

Comments

Popular posts from this blog

HERE IS THE HUNGRIEST FISI IN KENYA

This is Probably The Hungriest Team Mafisi Member You Have Eve Seen A photo has been doing rounds on whatsapp groups showing what seems to be a guy's "bazooka" almost coming out of its pocket after standing next to a well endowed female. There are no details as of who the people are in the photo, but this has to be the hungriest team mafisi member you have ever seen. You will have to look very closely to see. check it out

HERE IS THE MOST DOWNLOADED MUSCIAN IN COAST OF KENYA

FORGET ABOUT THE BIG NAMES IN THE COASTALMUSIC INDUSTRY THE LIKES OF SUSUMILA ,, SUDIBOY,BROWN MAUZO,CHIKUZEE  AND MORE HERE IS THE REAL BIG DEAL BONELESS,BONELESS IS THE MOST DOWNLOADED MUSCIAN IN THE COAST OF KENYA,HAVING TOPPED DOWNLOAD CHARTS BOTH LOCAL IN KENYA AND INTERNATIONAL IN COUNTRIES LIKE ANGOLA,ZIMBABWE,SOUTH AFRICA AND TANZANIA, WHEN WE ASKED BONELESS how he managed to top charts even though he doesnt seem to be so famous in kenya this is what he said"fisrt I would like to thank my international fans from zimbabwe,southafrica,angola,zambia,nigeria and all over africa for supporting me I really appreciate your love you people rock big times and to my Kenyan people I also appreciate you and I would like you people to support the kenyan musical industry,by playing KENYAN MUSIC be blessed all" you can connect with BONELESS HERE

ONE ON ONE WITH BONELESS

ONE ON ONE: BONELESS           Hassan Juma, popularly known as BONELESS KENYA  , talks of his musical career his up and downs and why he is in the industry to stay (conversation) Do you sometimes feel that the name boneless kenya is bigger than you? Sometimes yes, but not all the time because I knew what I was getting into when I started calling myself boneless . I knew I was going to advertise that brand more than my character. People always associate the name with the character, which is very wrong. So you will find people saying: “That guy feels so sweet”. No, that’s the brand. The brand has to sell, the brand has to feel sweet and be expensive. But the character is different. So is Hassan down to earth? Yes I am, that’s how I was raised. Plus, that’s how Kenyan people are, it’s our culture, we are very down to earth. But when you are already a brand like boneless kenya , it becomes very hard to associate ...